intro
Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni mola lazima ntapata
Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni mola lazima ntapata
verse
Bwana Shetani muongo, muongo we!
Mbona umejawa na kinyongo bwana we!
Wajua Shetani muongo, muongo we!
Mbona umejawa na kinyongo ndugu we!
verse
Mbona niambie niambie niambie
Wapi nilipokuudhi naomba uniambie
Maana sio sawa kama we wanichukia
Nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio Yangu
Wakati mimi nakuombea mema, waniwazia mbaya
verse
Wewe unanichukia hadi zaidi unavyojipenda
Unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
Chochote nachofanya unanielewa makosa
Lolote nachofanya unanihukumu vibaya
Wapi nilipokukosea ningependa unieleze
Wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
Maana sio sawa kama wewe wanichukia
Nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
Wakati mimi nakuombea mema
bridge
Ooh dhamira yangu, ndo nguzo yangu
Ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu
Ooh wema wangu ndo nguzo yangu
Eeeh ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu
outro
Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni Mola lazima ntapata
Kama riziki unatoa, basi ntakosa
Ila kama ni Mola lazima ntapata
Wajua Shetani muongo, muongo we!
Amejawa na kinyongo bwana we
Wajua Shetani muongo, muongo we!
Amejawa na kinyongo ndugu we
Is your boy Brown baby watanyauka