Are you an artist? Make the most of your lyrics with Musixmatch Pro!
Translations (1)
Share
Verified by Curator
10 contributions
over 1 year ago
Translations
English

Lyrics of Ulinumba Nikuabudu by Angela Chibalonza

intro

Haleluya
Uliniumba nikuabudu bwana

chorus

Uliniumba nikuabudu (Uliniumba nikuabudu)
Kwa ajili yako mimi naishi (oh Uliniumba nikuabudu)
Pasipo wewe singekuwepo (oh Uliniumba nikuabudu)
Mimi ni kazi ya mikono yako (oh Uliniumba nikuabudu)

verse

Baba ninaona nikuabudu
Maana matendo yako ni mengi sana
Ishara zako Baba ni nyingi mno
Maana wewe ndiye Mungu wangu
Uliniumba niseme matendo yako
Wewe ndiye Mungu, wa miungu eh haleluya baba
Wewe kimbilio letu na ngome yetu
Hakuna aliye kama wewe

chorus

Uliniumba nikuabudu baba (Uliniumba nikuabudu oh)
Pasipo wewe singekuwepo (Uliniumba nikuabudu oh)
Kama si wewe singeliishi (Uliniumba nikuabudu oh)
Kwa ajili yako mimi naimba (Uliniumba nikuabudu oh)

verse

Maneno ya kusema yananikosa
Maana matendo yako ni ya ajabu
Maana ishara zako ni nyingi mno
Kwa macho nimeona makuu yako
Masikio nimesikia matendo yako
Ndio maana nimetambua
Ya kwamba niliumbwa nikuabudu
Mungu wa milele haleluya oh

chorus

Uliniumba nikuabudu baba (Uliniumba nikuabudu)
Kwa ajili yako mimi naishi oh(Uliniumba nikuabudu)
Umenipa sauti nikuimbie baba (Uliniumba nikuabudu)
Hata watu wote wanajua yeah (Uliniumba nikuabudu)

bridge

(Uliniumba nikuabudu)
Ninasema uliniumba (oh Uliniumba nikuabudu)
Wewe ni nuru ya maisha yangu baba(oh Uliniumba nikuabudu)
Wewe ni mwamba wa imani yangu baba (oh Uliniumba nikuabudu)

verse

Haleluyah yesu
Mataifa yote ya dunia njoo tumuimbie bwana
Maana fadhili zake ni za milele
Daudi anasema hata wakati moyo wangu unakuwa na uoga
Ni kwako mungu ninajileta
Maana hakuna aliyekutumainia akapata haya

chorus

Haleluya, yesu ni mfalme (Uliniumba nikuabudu)
Uliniumba nikuabudu (oh Uliniumba nikuabudu)
Mataifa yote munisikie haleluyah (oh Uliniumba nikuabudu)
Pasipo yesu mimi singelikuwepo (oh Uliniumba nikuabudu)
Kama si yesu singeliishi oh (Uliniumba nikuabudu)
Wewe ni mwamba wa maisha yangu oh (oh Uliniumba nikuabudu)
Umeokoa wazazi wangu baba (oh Uliniumba nikuabudu)
Umeokoa taifa lako yea(oh Uliniumba nikuabudu)
Writer(s): Angela Chibalonza

Contribute

To-do

Performers Tag
Identify who's singing what

Completed

Lyrics
Verified by Curator
Structure Tag
Identify the song's sections

Credits

This song has no credits yet

Contributions

Last edit over 1 year ago
Are you an artist? Distribute your lyrics!
Take full control of your lyrics. Curate, sync, and distribute your lyrics on Spotify, Apple Music, and more.
Explore Musixmatch Pro