Kweli mizani ya hadaa ni chukizo baya
Ni uangamivu ulio karibu,
Mtu mjinga huamini kila aambiwalo bali mwenye hekima hufikiri sana,
Apendaye mafundisho hupenda maarifa bali achukiaye ni kama mnyama,
Mtu mjinga huamini kila aambiwalo
Yuko wapi rafiki yako mlopendana siku ya kwanza mlipokutana, yuko wapi?
Aliyesema anakupenda mpaka kifo kiwatenge leo yuko wapi rafiki yako?
Alikupa ahadi nyingi na viapo tele, leo yuko wapi rafiki yako?
Mbona amekukimbia umebaki pekee yako unahuzunika pole we!
Alisema anachanganyikiwa, nisipoiona sura yako leo yuko wapi rafiki yako?
Alikuja na vicheko na furaha tele, leo yuko wapi rafiki yako?
Mbona unateketea ah, unaangamia amekwenda zake rafiki yako!
Anakwenda zake amekusaliti rafiki yako!
Wenye dhambi wakikushawishi mwanangu kataa usiwafuate utaangamia,
Watakuja na maneno mazuri tamu kama asali usiwasikize ni walaghai,
Watakuja wenye sura zuri tena mvuto wa ajabu usiwatazame ni walaghai,
Hata wawe na shape nzuri, zuri kama nini, usiwatazame utaangamia!
Kucheza na marafiki wabaya epuka mwanangu ni sawa na kushika sikio la simba!
Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo ′tavunjika ghafla hapati dawa
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
MUONGO RAFIKI YAKO MUONGO
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU!
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU
NI YESU RAFIKI MWEMA NI YESU